Font Size
Marko 14:10-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:10-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yuda Akubali Kuwasaidia Adui wa Yesu
(Mt 26:14-16; Lk 22:3-6)
10 Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na mbili, aliwaendea viongozi wa makuhani ili kumsaliti Yesu kwao. 11 Nao walifurahi kusikia hivyo, na wakaahidi kumpa fedha. Kwa hiyo Yuda akaanza kutafuta wakati unaofaa wa kumsaliti.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International