Font Size
Marko 14:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mpango wa Kumwua Yesu
(Mt 26:1-5; Lk 22:1-2; Yh 11:45-53)
14 Ilikuwa yapata siku mbili kabla ya Sikukuu ya Pasaka na Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Wakuu wa makuhani na walimu wa Sheria walikuwa wakitafuta njia, kwa ujanja fulani, ya kumkamata na kumuua Yesu. 2 Kwani walikuwa wakisema “tusifanye hivi wakati wa sherehe, ama sivyo watu watafanya fujo.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International