Font Size
Marko 13:24-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 13:24-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Atakaporudi Tena
(Mt 24:29-51; Lk 21:25-36; 19:12-13,40)
24 Lakini katika siku hizo, baada ya kipindi cha dhiki,
‘Jua litatiwa giza,
mwezi hautatoa mwanga,
25 nyota zitaanguka kutoka angani,
na mbingu yote itatikisika.’[a]
26 Ndipo watu watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na nguvu kubwa na utukufu. 27 Baada ya hapo Mwana wa Adamu atawatuma malaika, na atawakusanya wateule wake kutoka kila upande wa dunia.
Read full chapterFootnotes
- 13:24-25 Tazama Isa 13:10; 34:4.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International