Font Size
Marko 1:6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 1:6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Huyo Yohana alivaa mavazi yaliyofumwa kutokana na manyoya ya ngamia. Naye alijifunga mkanda wa ngozi kuzunguka kiuno chake, na alikula nzige na asali mbichi.
Read full chapter
Marko 1:6
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 1:6
Neno: Bibilia Takatifu
6 Yohana alivaa mavazi ya manyoya ya ngamia na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa ni nzige na asali ya mwituni.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica