Font Size
Marko 1:14-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 1:14-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Aanza Kazi yake Galilaya
(Mt 4:12-17; Lk 4:14-15)
14 Baada ya Yohana kuwekwa gerezani, Yesu akaja katika wilaya karibu na Ziwa Galilaya, huko aliwatangazia watu Habari Njema kutoka kwa Mungu. 15 Akasema, “Wakati umefika. Ufalme wa Mungu umewafikia.[a] Mbadili mioyo yenu na maisha yenu, na kuiamini habari njema!”
Read full chapterFootnotes
- 1:15 umewafikia Au “unakuja upesi”, au “umekwisha kuja”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International