Font Size
Luka 9:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 9:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Habari zil imfikia Herode mtawala wa Galilaya kuhusu miujiza iliyokuwa iki fanyika, naye akafadhaika kwa kuwa baadhi ya watu walikuwa wakisema, “Yohana Mbatizaji amefufuka!” 8 Wengine wakasema, “Ni Eliya ametutokea” na wengine kwamba, “Mmoja wa manabii wa kale amefufuka.” 9 Herode akasema, “Yohana nilimkata kichwa, ni nani huyu anayefanya maajabu haya ninayoambiwa?” Akajaribu sana amwone Yesu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica