Font Size
Luka 6:43-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 6:43-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yale Unayofanya Yanaonesha Jinsi Ulivyo
(Mt 7:17-20; 12:34b-35)
43 Mti mzuri hauzai matunda mabaya. Na mti mbaya hauzai matunda mazuri. 44 Kila mti unatambuliwa kutokana na aina ya matunda unayozaa. Huwezi kupata tini kwenye vichaka vya miiba. Na huwezi kuchuma zabibu kwenye michongoma!
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International