Font Size
Luka 23:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 23:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Gavana Pilato Amhoji Yesu
(Mt 27:1-2,11-14; Mk 15:1-5; Yh 18:28-38)
23 Kisha kundi lote likasimama, wakampeleka Yesu kwa Pilato. 2 Wakaanza kumshitaki Yesu na kumwambia Pilato, “Tumemkamata mtu huyu akijaribu kuwapotosha watu wetu. Anasema tusilipe kodi kwa Kaisari. Anajiita Masihi, mfalme.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International