Luka 20:41-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Je, Masihi ni Mwana wa Daudi?
(Mt 22:41-46; Mk 12:35-37)
41 Kisha Yesu akasema, “Kwa nini watu husema kwamba Masihi ni Mwana wa Daudi? 42 Katika kitabu cha Zaburi, Daudi mwenyewe anasema,
‘Bwana Mungu alimwambia Bwana wangu:
Keti karibu nami upande wangu wa kulia,
43 na nitawaweka adui zako chini ya mamlaka yako.’[a](A)
44 Hivyo ikiwa Daudi anamwita Masihi, ‘Bwana’. Inawezekanaje Masihi awe mwana wa Daudi?”
Read full chapterFootnotes
- 20:43 chini ya mamlaka yako Kwa maana ya kawaida, “mpaka nitakapowafanya maadui zako kuwa kiti cha kuweka miguu yako”.
Luke 20:41-44
New International Version
Whose Son Is the Messiah?(A)
41 Then Jesus said to them, “Why is it said that the Messiah is the son of David?(B) 42 David himself declares in the Book of Psalms:
“‘The Lord said to my Lord:
“Sit at my right hand
43 until I make your enemies
a footstool for your feet.”’[a](C)
44 David calls him ‘Lord.’ How then can he be his son?”
Footnotes
- Luke 20:43 Psalm 110:1
© 2017 Bible League International
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.