Font Size
Luka 13:18-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 13:18-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Simulizi Nyingine ya Ufalme
(Mt 13:31-33; Mk 4:30-32)
18 Kisha Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Niufananishe na nini? 19 Ufalme wa Mungu ni kama mbegu ya haradali. Mtu mmoja aliichukua na kuipanda katika bustani yake. Mbegu ikaota, ikakua na kuwa mti na ndege wakatengeneza viota kwenye matawi yake.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International