Font Size
Luka 11:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 11:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Yesu akawaambia wafuasi wake, “Hivi ndivyo mnapaswa kuomba:
‘Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe daima.
Tunaomba Ufalme wako uje.
3 Utupe chakula tunachohitaji kila siku.
4 Utusamehe dhambi zetu,
kama tunavyomsamehe kila mtu anayetukosea.
Na usiruhusu tukajaribiwa.’”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International