Luke 3
Christian Standard Bible
The Messiah’s Herald
3 In the fifteenth year of the reign of Tiberius Caesar, while Pontius Pilate was governor of Judea,(A) Herod was tetrarch[a] of Galilee,(B) his brother Philip tetrarch of the region of Iturea and Trachonitis, and Lysanias tetrarch of Abilene, 2 during the high priesthood of Annas(C) and Caiaphas,(D) God’s word came to John the son of Zechariah in the wilderness.(E) 3 He went into all the vicinity of the Jordan,(F) proclaiming a baptism of repentance for the forgiveness of sins,(G) 4 as it is written in the book of the words of the prophet Isaiah:
A voice of one crying out in the wilderness:
Prepare the way for the Lord;
make his paths straight!
5 Every valley will be filled,
and every mountain and hill will be made low;[b]
the crooked will become straight,
the rough ways smooth,
6 and everyone will see the salvation of God.[c](H)
7 He then said to the crowds who came out to be baptized by him, “Brood of vipers!(I) Who warned you to flee from the coming wrath?(J) 8 Therefore produce fruit(K) consistent with repentance. And don’t start saying to yourselves, ‘We have Abraham as our father,’(L) for I tell you that God is able to raise up children for Abraham from these stones. 9 The ax is already at the root of the trees. Therefore, every tree that doesn’t produce good fruit will be cut down and thrown into the fire.”(M)
10 “What then should we do?” (N) the crowds were asking him.
11 He replied to them, “The one who has two shirts must share with someone who has none, and the one who has food must do the same.”(O)
12 Tax collectors(P) also came to be baptized, and they asked him, “Teacher, what should we do?” (Q)
13 He told them, “Don’t collect any more than what you have been authorized.”
14 Some soldiers also questioned him, “What should we do?”
He said to them, “Don’t take money from anyone by force or false accusation, and be satisfied with your wages.”
15 Now the people were waiting expectantly, and all of them were questioning in their hearts whether John might be the Messiah.(R) 16 John answered them all,(S) “I baptize you with water, but one who is more powerful than I am is coming. I am not worthy to untie the strap of his sandals. He will baptize you with[d] the Holy Spirit and fire. 17 His winnowing shovel(T) is in his hand to clear his threshing floor and gather the wheat into his barn,(U) but the chaff he will burn with fire that never goes out.”(V) 18 Then, along with many other exhortations, he proclaimed good news to the people. 19 But when John rebuked Herod the tetrarch(W) because of Herodias, his brother’s wife, and all the evil things he had done,(X) 20 Herod added this to everything else—he locked up John in prison.(Y)
The Baptism of Jesus
21 When all the people were baptized,(Z) Jesus also was baptized. As he was praying,(AA) heaven opened,(AB) 22 and the Holy Spirit descended on him in a physical appearance like a dove. And a voice came from heaven: “You are my beloved Son; with you I am well-pleased.”(AC)
The Genealogy of Jesus Christ
23 As he began his ministry, Jesus was about thirty years old and was thought to be the
son of Joseph,(AD) son of Heli,
24 son of Matthat, son of Levi,
son of Melchi, son of Jannai,
son of Joseph, 25 son of Mattathias,
son of Amos, son of Nahum,
son of Esli, son of Naggai,
26 son of Maath, son of Mattathias,
son of Semein, son of Josech,
son of Joda, 27 son of Joanan,
son of Rhesa, son of Zerubbabel,(AE)
son of Shealtiel, son of Neri,
28 son of Melchi, son of Addi,
son of Cosam, son of Elmadam,
son of Er, 29 son of Joshua,
son of Eliezer, son of Jorim,
son of Matthat, son of Levi,
30 son of Simeon, son of Judah,
son of Joseph, son of Jonam,
son of Eliakim, 31 son of Melea,
son of Menna, son of Mattatha,
son of Nathan, son of David,
32 son of Jesse,(AF) son of Obed,(AG)
son of Boaz, son of Salmon,[e]
son of Nahshon, 33 son of Amminadab,
son of Ram,[f] son of Hezron,
son of Perez,(AH) son of Judah,
34 son of Jacob, son of Isaac,
son of Abraham,(AI) son of Terah,
son of Nahor, 35 son of Serug,
son of Reu, son of Peleg,(AJ)
son of Eber, son of Shelah,
36 son of Cainan,[g] son of Arphaxad,
son of Shem, son of Noah,(AK)
son of Lamech, 37 son of Methuselah,
son of Enoch,(AL) son of Jared,
son of Mahalalel, son of Cainan,
38 son of Enos, son of Seth,
son of Adam, son of God.
Luka 3
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana Mbatizaji Aanza Kuhubiri
3 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Neno la Mungu lilimfikia Yohana mwana wa Zakaria alipokuwa nyikani. Wakati huo Pontio Pilato alikuwa mtawala wa Yudea; Her ode mtawala wa Galilaya, nduguye Filipo mtawala wa Iturea na Tra koniti; na Lisania alikuwa mtawala wa Abilene. 2 Anasi na Kayafa walikuwa makuhani wakuu.
3 Yohana akazunguka sehemu zote za kando kando ya mto Yordani akihubiri kwamba watu watubu na kubatizwa ili wasamehewe dhambi zao. 4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aitae nyikani, ‘Mtayarishieni Bwana njia , nyoosheni sehemu zote atakazopita, 5 jazeni kila bonde, sawazisheni milima yote. 6 Na watu wote watamwona Mwokozi aliyetumwa na Mungu.’ ”
7 Yohana akawaambia wale waliokuja ili awabatize, “Enyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya muepuke hukumu ya Mungu ita kayokuja? 8 Kama kweli mmetubu, basi onyesheni kwa matendo yenu. Wala msidhani kuwa mtasamehewa kwa kuwa ninyi ni uzao wa Ibra himu. Nawaambia wazi, Mungu anaweza kabisa kumpa Ibrahimu watoto kutoka katika haya mawe! 9 Na hivi sasa hukumu ya Mungu, kama shoka kwenye shina la mti, iko juu yenu. Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa katwa na kutupwa motoni.”
10 Watu wakamwuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?” 11 Aka waambia: “Aliye na nguo mbili amgawie asiye na nguo; kama una chakula wape wenye njaa.”
12 Watoza kodi nao pia walikuja ili wabatizwe; wakamwuliza, “Bwana, na sisi inatupasa tufanyeje?”
13 Akawajibu: “ Msimdhulumu mtu kwa kudai kodi zaidi ya ile iliyoamriwa.”
14 Na baadhi ya askari wakamwuliza, “Na sisi je, tufanye nini?” Akawajibu: “Msichukue fedha za watu kwa kutumia nguvu; msiwashtaki watu kwa kuwasingizia makosa; bali mtosheke na misha hara yenu!”
15 Siku hizo watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wakijiuliza mioyoni mwao kama Yohana ndiye Kristo.
16 Yohana aliwajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini anayekuja ni mkuu kuliko mimi, sistahili hata kuwa mtumwa wake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 “Yuko tayari na pepeto lake mkononi, tayari kusafisha mahali pake pa kukusanyia mazao. Nafaka safi ataiweka ghalani lakini makapi atayachoma kwa moto usiozimika.”
18 Yohana alitumia mifano mingine mingi kuwaonya watu na kuwatangazia Habari Njema. 19 Lakini Yohana alipomkanya Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia mke wa kaka yake, na maovu men gine aliyofanya, 20 Herode aliongezea uovu huo kwa kumfunga
Kubatizwa Kwa Bwana Yesu
21 Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye alibatizwa. Na alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka. 22 Roho Mtakatifu akash uka juu yake kama hua; na sauti ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa, ninapendezwa nawe.”
Ukoo Wa Bwana Yesu
23 Yesu alikuwa na umri wa miaka kama thelathini hivi ali poanza kazi ya kuhubiri. Yesu alijulikana kama mtoto wa Yusufu. Yusufu alikuwa mwana wa Eli, 24 Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yusufu 25 Yusufu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli ali kuwa mwana wa Nagai, 26 Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda, 27 Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri, 28 Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri, 29 Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, 30 1Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yusufu, Yusufu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea, 31 Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi, 32 Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni, 33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda, 34 Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori, 35 Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Ragau, Ragau alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala, 36 Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Nuhu, Nuhu alikuwa mwana wa Lameki, 37 Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Henoko, Henoko alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani, 38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu,
The Christian Standard Bible. Copyright © 2017 by Holman Bible Publishers. Used by permission. Christian Standard Bible®, and CSB® are federally registered trademarks of Holman Bible Publishers, all rights reserved.
Copyright © 1989 by Biblica