Font Size
Luka 9:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 9:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Akawatuma kwenda kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa. 3 Akawaambia, “Mnaposafiri, msibebe kitu chochote: msichukue fimbo ya kutembelea, msibebe mkoba, chakula au fedha. Chukueni nguo mlizovaa tu kwa ajili ya safari yenu. 4 Mkiingia katika nyumba; kaeni katika nyumba hiyo mpaka mtakapokuwa mnatoka katika mji huo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International