Font Size
Luka 9:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 9:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Kisha akawatuma waende wakautangaze Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
3 Akawaagiza akisema, “Msichukue cho chote safarini, wala fimbo, wala mkoba, wala chakula, wala fedha; na msichukue nguo za kubadili. 4 Mkikaribishwa katika nyumba yo yote muwe wageni wa nyumba hiyo hadi mtakapoondoka katika kijiji hicho.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica