Font Size
Luka 7:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 7:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
34 Lakini mimi nakula na kunywa, nanyi mnasema: ‘Mtazameni mlafi na mlevi! Rafiki wa watoza kodi na wenye dhambi.’ 35 Lakini hekima ya Mungu inadhihirishwa kuwa kweli na wote wanaoipokea.”
Mwanamke Aliyempaka Yesu Manukato
36 Farisayo mmoja alimwalika Yesu nyumbani kwake kwa chak ula. Naye akaenda akakaa ale chakula.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica