Font Size
Luka 6:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 6:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.”
Msiwahukumu Wengine
37 “Msiwahukumu wengine nanyi hamtahukumiwa. Msilaani, nanyi hamtalaaniwa. Wasameheni wengine, nanyi mtasamehewa. 38 Muwe wepesi wa kutoa nanyi mtapokea. Kipimo mtakachotoa mtar udishiwa kikiwa kimejaa na kushindiliwa na kutikiswa na kufurika. Kwa kuwa jinsi mtakavyotoa, ndivyo mtakavyopata.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica