Font Size
Luka 6:22-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 6:22-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
22 Watu watawachukia kwa sababu ninyi ni wa milki ya Mwana wa Adamu. Watawabagua na watawatukana. Watajisikia vibaya hata kutamka majina yenu. Mambo haya yatakapotukia, mjue kuwa baraka kuu ni zenu. 23 Ndipo mfurahi na kurukaruka kwa furaha, kwa sababu mna thawabu kuu mbinguni. Baba zao waliwafanyia manabii vivyo hivyo.
24 Lakini ole wenu ninyi matajiri,
kwa kuwa mmekwishapata maisha yenye raha.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International