Font Size
Luka 6:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 6:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Hata wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu nao walimjia akawaponya. 19 Na watu wote wali kuwa wanajitahidi kumgusa kwa maana walipofanya hivyo, nguvu zil ikuwa zikimtoka na kuwaponya wote.
20 Kisha akawatazama wanafunzi wake akasema, “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini kwa sababu Ufalme wa mbinguni ni wenu!
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica