Font Size
Luka 6:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 6:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Yuda mwana wa Yakobo,
na Yuda Iskariote (yule ambaye baadaye alimsaliti Yesu).
Yesu Afundisha na Kuponya Watu
(Mt 4:23-25; 5:1-12)
17 Yesu na mitume wakatelemka kutoka mlimani. Yesu akasimama mahali tambarare. Kundi kubwa la wafuasi wake lilikuwa pale. Walikuwepo pia watu wengi waliotoka sehemu zote za Uyahudi, Yerusalemu, na maeneo ya pwani karibu na Tiro na Sidoni. 18 Wote walikuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Aliwaponya watu waliokuwa wanasumbuliwa na mapepo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International