Font Size
Luka 6:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 6:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
14 Simoni (ambaye Yesu alimwita Petro),
Andrea aliyekuwa kaka yake Petro,
Yakobo,
Yohana,
Filipo,
Bartholomayo,
15 Mathayo na
Tomaso,
Yakobo mwana wa Alfayo,
Simoni aliyeitwa Mzelote,
16 Yuda mwana wa Yakobo,
na Yuda Iskariote (yule ambaye baadaye alimsaliti Yesu).
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International