Font Size
Luka 18:29-30
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 18:29-30
Neno: Bibilia Takatifu
29 Yesu akajibu, “Nawaam bia hakika, hakuna hata mmoja aliyeacha nyumba yake, au mke, ndugu, wazazi au watoto kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, 30 ambaye hatapewa na Mungu mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya na kupata uzima wa milele katika maisha yajayo.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica