Font Size
Luka 17:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
34 Usiku ule watu wawili wataweza kuwa wamelala katika chumba kimoja, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa. 35 Wanawake wawili watakuwa wanasaga nafaka pamoja, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.” 36 [a]
Read full chapterFootnotes
- 17:36 Nakala chache za Kiyunani zimeongeza mstari wa 36: “Watu wawili watakuwa shambani, mmoja atachukuliwa, mwingine ataachwa.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International