Font Size
Luka 14:34-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 14:34-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Msipoteze Umuhimu Wenu
(Mt 5:13; Mk 9:50)
34 Chumvi ni kitu kizuri; lakini chumvi ikipoteza ladha yake, huwezi kuitengenezea ladha tena. 35 Haifai. Huwezi hata kuitumia kama uchafu au mbolea. Watu huitupa tu.
Mnaonisikiliza, sikilizeni!”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International