Luka 1
Neno: Bibilia Takatifu
1 1 0Wakati alipokuwa akifukiza uvumba umati mkubwa wa watu walikuwa nje wakiomba. 2 wakitumia maelezo ya wale wal ioshuhudia mambo haya kwa macho yao na wale waliotabiri habari hizo. 3 Lakini, mimi pia, nimezichunguza habari hizi kuanzia mwanzo. Nami nimeona ni vema nikuandikie kwa mpango, muhtasari huu, 4 ili upate kuwa na hakika ya mambo yote uliyofundishwa.
Utabiri Kuhusu Yohana Mbatizaji
5 Historia ya mambo haya ilianzia katika jamaa ya kuhani mmoja Myahudi aliyeitwa Zakaria. Yeye aliishi wakati Herode ali pokuwa mfalme wa Yudea na alihudumu katika kikundi cha ukuhani cha Abia. Mkewe Zakaria aliitwa Elizabeti naye alikuwa wa ukoo wa kuhani Aroni. 6 Zakaria na Elizabeti walikuwa watu wenye kumcha Mungu, wakitii amri zake zote na kutimiza maagizo yake yote kika milifu. 7 Lakini hawakuwa na watoto, maana Elizabeti alikuwa tasa; na wote wawili walishapita umri wa kuzaa. 8-9 Siku moja, kikundi cha Zakaria kilikuwa na zamu Hekaluni na Zakaria alikuwa anafanya huduma yake ya ukuhani kwa Mungu. Walipopiga kura, kama ilivyokuwa desturi, ili wamchague atakayeingia kufukiza uvumba madhabahuni, Zakaria alichaguliwa. 11 Ghafla, malaika wa Bwana akamtokea Zakaria. Akasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia uvumba. 12 Zakaria alipomwona huyo mal aika alishtuka akajawa na hofu.
13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope, Zakaria! Kwa maana Mungu amesikia maombi yako, na mkeo Elizabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana. 14 Nawe utakuwa na furaha kubwa moyoni wakati huo na watu wengi watashangilia kuzaliwa kwake. 15 Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana, hataonja divai wala kinywaji cho chote cha kulevya; atajazwa Roho Mtakatifu hata kabla ya kuzaliwa kwake. 16 Naye atawavuta Wayahudi wengi warudi kwa Bwana, Mungu wao. 17 Yeye atamtangulia Bwana akiongozwa na Roho na nguvu ya nabii Eliya. Atawapatanisha akina baba na watoto wao. Atawarejesha waasi katika njia ya wenye haki na kuandaa watu wa Bwana kwa ajili ya kuja kwake.” 18 Zakaria akamwambia mal aika, “Jambo hilo linawezekanaje? Mimi ni mzee na mke wangu pia ana umri mkubwa!” 19 Malaika akamjibu, akamwambia, “Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu. Yeye ndiye aliyenituma kwako nikuambie habari hizi njema. 20 Sikiliza! Kwa sababu huku niamini, utakuwa bubu, hutaweza kusema mpaka maneno yangu yataka pothibitishwa wakati mtoto huyo atakapozaliwa.” 21 Wakati mambo haya yakitokea mle Hekaluni, watu waliokuwa nje wakimngojea Zakaria walikuwa wakishangaa kwa nini alikawia kutoka. 22 Hati maye alipotoka hakuweza kusema nao. Wakatambua ya kuwa ameona maono ndani ya Hekalu. Kwa kuwa alikuwa bubu, akawaashiria kwa mikono. 23 Muda wake wa zamu Hekaluni ulipomalizika, akarudi nyumbani kwake. 24 Kisha baada ya muda si mrefu, Elizabeti mkewe alipata mimba, naye akajificha kwa miezi mitano akisema: 25 “Bwana amekuwa mwema kwangu. Maana ameniondolea aibu yangu mbele za watu.”
Kuzaliwa Kwa Yesu Kwatabiriwa
26 Miezi sita baada ya Elizabeti kupata mimba, Mungu alim tuma malaika Gabrieli aende katika mji wa Nazareti, ulioko Gali laya, 27 kwa msichana bikira aliyeitwa Mariamu. Yeye alikuwa ameposwa na mtu mmoja aliyeitwa Yusufu, wa ukoo wa Mfalme Daudi.
28 Malaika Gabrieli alimtokea Mariamu, akamwambia: “Sal aamu, ewe binti uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!”
29 Mariamu alifadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, maana ya salamu hizi ni nini. 30 Ndipo malaika akamwam bia, “Usiogope, Mariamu, Mungu amependezwa nawe. 31 Sikiliza, utapata mimba, nawe utazaa mtoto wa kiume; na utamwita jina lake Yesu. 32 Mtoto huyo atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Mfalme Daudi, baba yake. 33 Atatawala juu ya nyumba ya Yakobo daima; na ufalme wake hau takuwa na mwisho!”
34 Mariamu akamwuliza malaika, “Lakini, nitapataje mimba, na mimi ni bikira?” 35 Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu ata kujilia na nguvu za Mungu zitakufunika kama kivuli, na kwa hiyo mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu na ataitwa Mwana wa Mungu. 36 Tena, miezi sita iliyopita binamu yako Elizabeti, aliyeitwa tasa, amepata mimba ingawa ni mzee sana. 37 Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilo wezekana.”
38 Mariamu akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana. Na iwe kwangu kama ulivyosema.’ ’ Kisha malaika akaondoka.
Mariamu Aenda Kumtembelea Elizabeti
39 , 40 Baada ya siku chache, Mariamu aliharakisha kwenda mji mmoja katika milima ya Yudea. Akaingia nyumbani kwa Zakaria akamsalimu Elizabeti. 41 Naye aliposikia salaamu za Mariamu, mtoto aliyekuwa tumboni mwake aliruka. Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu, 42 akasema kwa sauti kubwa: “Umebarikiwa wewe zaidi ya wanawake wengine wote, naye mtoto utakayemzaa amebari kiwa. 43 Sikustahili heshima hii ya kutembelewa na mama wa Bwana wangu! 44 Mara tu niliposikia salaamu zako, mtoto aliyeko tum boni mwangu aliruka kwa furaha. 45 Wewe umebarikiwa kwa kuwa uliamini kwamba Bwana atatimiza yale aliyokuambia.” 46 Mariamu akasema: “Namtukuza Bwana, 47 na roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu. 48 Kwa kuwa ameutambua unyonge wa mtumishi wake. Tangu sasa vizazi vyote wataniita niliyebarikiwa. 49 Kwa maana, yeye Mwenye Uwezo, amenitendea mambo ya ajabu! Jina lake ni taka tifu. 50 Rehema zake hudumu vizazi hata vizazi kwao wamchao. 51 Kwa mkono wake ametenda mambo makuu. Wenye kiburi mioyoni mwao amewatawanya. 52 Amewaangusha wafalme kutoka katika viti vyao vya enzi na kuwainua wanyonge. 53 Amewashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri na matajiri amewafukuza mikono mitupu. 54 Amem saidia mtumishi wake Israeli, akiikumbuka rehema yake, 55 kama alivyowaahidi baba zetu Ibrahimu na uzao wake daima.” 56 Mar iamu akakaa na Elizabeti karibu miezi mitatu, kisha akarudi nyum bani kwake.
Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji
57 Ikawa siku za kujifungua kwake Elizabeti zilipotimia, alizaa mtoto wa kiume . 58 Habari zikawafikia majirani na jamaa jinsi Bwana alivyomfanyia rehema kuu. Nao wakafurahi pamoja naye. 59 Mtoto alipokuwa na umri wa siku nane, watu wakaja kuhudhuria tohara yake. Wote wakataka wampe yule mtoto jina la Zakaria, yaani jina la baba yake. 60 Lakini mama yake akakataa na kusema, “La si hilo. Jina lake litakuwa Yohana.” 61 Wakamjibu, “Mbona hakuna mtu katika jamaa yako mwenye jina kama hilo?” 62 Basi wakaamua kumwuliza Zakaria kwa ishara kwamba yeye angependa mtoto aitwe nani. 63 Akaomba mahali pa kuandikia, naye akaandika: “Jina lake ni Yohana.” Watu wote wakastaajabu. 64 Papo hapo uwezo wa kusema ukamrudia Zakaria naye akaanza kumsifu Mungu. 65 Watu wote walioshuhudia jambo hili wakastaajabu mno, na habari hii ikaenea sehemu zote za wilaya ile ya Yudea. 66 Na kila aliyezisikia habari hizi aliwaza moyoni: “Je, mtoto huyu atakuwa mtu wa namna gani?” Maana, hakika mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
Utabiri Wa Zakaria
67 Zakaria, baba yake, akajazwa na Roho Mtakatifu, naye akata biri akisema: 68 “Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajia watu wake ili awakomboe. 69 Naye ametusimamishia nguvu ya wokovu katika ukoo wa Daudi mtumishi wake; 70 kama alivy oahidi kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani: 71 kwamba atatuokoa na maadui zetu na kututoa kutoka katika mikono ya wote watuchukiao. 72 Aliahidi ataonyesha rehema kwa baba zetu na kukumbuka agano lake takatifu 73 aliloagana na baba yetu Ibrahimu: 74 kutuokoa kutoka katika mikono ya adui zetu na kutuwezesha kumtumikia pasipo woga, 75 katika utakatifu na haki mbele zake, siku zetu zote. 76 Na wewe mwanangu, utaitwa nabii wa Aliye Juu, kwa kuwa utamtangulia Bwana na kumwandalia njia; 77 na kuwafahamisha watu wake juu ya wokovu utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao, 78 kwa ajili ya wingi wa rehema za Mungu wetu. Nuru ya jua itatujia kutoka mbinguni na 79 kuwaangazia wote waishio katika giza na katika uvuli wa mauti na kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.” 80 Yule mtoto akakua na kuko maa kiroho; akaishi nyikani hadi alipoanza kuwahubiria Waisraeli hadharani.
Luke 1
Lexham English Bible
The Preface to Luke’s Gospel
1 Since many have attempted to compile an account concerning the events that have been fulfilled among us, 2 just as those who were eyewitnesses and servants of the word from the beginning passed on to us, 3 it seemed best to me also—because I[a] have followed all things carefully from the beginning—to write them[b] down in orderly sequence for you, most excellent Theophilus, 4 so that you may know the certainty concerning the things about which you were taught.
The Prediction of John the Baptist’s Birth
5 It happened that in the days of Herod, king of Judea, there was a certain priest, Zechariah by name, of the division of Abijah. And he had a wife[c] from the daughters of Aaron, and her name was Elizabeth. 6 And they were both righteous in the sight of God, living blamelessly in all the commandments and regulations of the Lord. 7 And they did not have[d] a child, because Elizabeth was barren. And they were both advanced in years.[e]
8 And it happened that while[f] he was serving as priest before God in the order of his division, 9 according to the custom of the priesthood he was chosen by lot to enter into the temple of the Lord to burn incense. 10 And the whole crowd of the people were praying outside at the hour of the incense offering. 11 And an angel of the Lord appeared to him, standing at the right side of the altar of incense. 12 And Zechariah was terrified when he[g] saw the angel,[h] and fear fell upon him. 13 But the angel said to him,
“Do not be afraid, Zechariah,
because your prayer has been heard,
and your wife Elizabeth will bear you a son,
and you will call his name John.
14 And you will experience joy and exultation,[i]
and many will rejoice at his birth.
15 For he will be great in the sight of the Lord,
and he must never drink wine or beer,
and he will be filled with the Holy Spirit
while he is[j] still in his mother’s womb.
16 And he will turn many of the sons of Israel
to the Lord their God.
17 And he will go on before him
in the spirit and power of Elijah,
to turn the hearts of the fathers to the children,
and the disobedient to the wisdom of the righteous,
to prepare for the Lord a people made ready.”
18 And Zechariah said to the angel, “By what will I know this? For I am an old man, and my wife is advanced in years!”[k] 19 And the angel answered and[l] said to him, “I am Gabriel, who stands in the presence of God, and I was sent to speak to you and to announce to you this good news. 20 And behold, you will be silent and not able to speak until the day these things take place, because[m] you did not believe my words, which will be fulfilled in their time.”
21 And the people were waiting for Zechariah, and began to wonder[n] when[o] he was delayed in the temple. 22 And when he[p] came out he was not able to speak to them, and they realized that he had seen a vision in the temple. And he kept making signs to them, and remained unable to speak. 23 And it happened that when the days of his service came to an end, he went away to his home.
24 Now after these days, his wife Elizabeth conceived, and she kept herself in seclusion for five months, saying, 25 “Thus the Lord has done for me in the days in which he has concerned himself with me,[q] to take away my disgrace among people.”
The Prediction of Jesus’ Birth
26 Now in the sixth month, the angel Gabriel was sent from God to a town of Galilee named[r] Nazareth, 27 to a virgin legally promised in marriage to a man named[s] Joseph of the house of David. And the name of the virgin was Mary. 28 And he came to her and[t] said, “Greetings, favored one! The Lord is with you.” 29 But she was greatly perplexed at the statement, and was pondering what sort of greeting this might be. 30 And the angel said to her,
“Do not be afraid, Mary, for you have found favor with God.
31 And behold, you will conceive in the womb and will give birth to a son,
and you will call his name Jesus.
32 This one will be great, and he will be called the Son of the Most High,
and the Lord God will give him the throne of his father David.
33 And he will reign over the house of Jacob forever,[u]
and of his kingdom there will be no end.
34 And Mary said to the angel, “How will this be, since I have not had sexual relations with a man?” 35 And the angel answered and[v] said to her,
“The Holy Spirit will come upon you,
and the power of the Most High will overshadow you.
Therefore also the one to be born will be called holy, the Son of God.
36 And behold, your relative Elizabeth—she also has conceived a son in her old age, and this is the sixth month for her who was called barren. 37 For nothing will be impossible with God.”[w]
38 So Mary said, “Behold, the Lord’s female slave! May it happen to me according to your word.” And the angel departed from her.
Mary Visits Elizabeth
39 Now in those days Mary set out and[x] traveled with haste into the hill country, to a town of Judah, 40 and entered into the house of Zechariah, and greeted Elizabeth. 41 And it happened that when Elizabeth heard the greeting of Mary, the baby in her womb leaped and Elizabeth was filled with the Holy Spirit. 42 And she cried out with a loud shout and said,
“Blessed are you among women,
and blessed is the fruit of your womb!
43 And why is this granted to me, that the mother of my Lord should come to me? 44 For behold, when the sound of your greeting came to my ears, the baby in my womb leaped for joy! 45 And blessed is she who believed that there will be a fulfillment to what was spoken to her from the Lord!”
Mary’s Hymn of Praise to God
46 And Mary said,
“My soul exalts the Lord,
47 and my spirit has rejoiced greatly in God my Savior,
48 because he has looked upon the humble state of his female slave,
for behold, from now on all generations will consider me blessed,
49 because the Mighty One has done great things for me,
and holy is his name.
50 And his mercy is for generation after generation
to those who fear him.
51 He has done a mighty deed with his arm;
he has dispersed the proud in the thoughts of their hearts.
52 He has brought down rulers from their thrones,
and has exalted the lowly.
53 He has filled those who are hungry with good things,
and those who are rich he has sent away empty-handed.
54 He has helped Israel his servant,
remembering his mercy,
55 just as he spoke to our fathers,
to Abraham and to his descendants forever.”[y]
56 And Mary stayed with her about three months, and returned to her home.
The Birth of John the Baptist
57 Now the time came for Elizabeth that she should give birth, and she gave birth to a son. 58 And her neighbors and relatives heard that the Lord had shown his great mercy to her,[z] and they rejoiced with her. 59 And it happened that on the eighth day they came to circumcise the child, and they were wanting to name him after[aa] his father Zechariah. 60 And his mother answered and[ab] said, “No, but he will be named John.” 61 And they said to her, “There is no one of your relatives who is called by this name.” 62 So they made signs to his father asking what he wanted him to be named, 63 and he asked for a writing tablet and[ac] wrote, saying, “John is his name.” And they were all astonished. 64 And his mouth and his tongue were opened immediately, and he began to speak,[ad] praising God. 65 And fear came on all those who lived near them, and in all the hill country of Judea all these events were discussed. 66 And all those who heard kept these things[ae] in their hearts, saying, “What then will this child be? For indeed the hand of the Lord was with him!”
The Praise and Prophecy of Zechariah
67 And his father Zechariah was filled with the Holy Spirit and prophesied, saying,
68 “Blessed be the Lord, the God of Israel,
because he has visited to help and has redeemed[af] his people,
69 and has raised up a horn of salvation for us
in the house of his servant David,
70 just as he spoke through the mouth of his holy prophets from earliest times—
71 salvation from our enemies and from the hand of all those who hate us,
72 to show mercy to our fathers
and to remember his holy covenant,
73 the oath that he swore to Abraham our father,
to grant us 74 that we, being rescued from the hand of our enemies,
could serve him without fear 75 in holiness and righteousness
before him all our days.
76 And so you, child, will be called the prophet of the Most High,
for you will go on before the Lord to prepare his ways,
77 to give knowledge of salvation to his people
by the forgiveness of their sins,
78 because of the merciful compassion[ag] of our God
by which the dawn will visit to help us from on high,
79 to give light to those who sit in darkness and in the shadow of death,
to direct our feet into the way of peace.”
80 And the child kept growing and becoming strong in spirit, and was in the wilderness until the day of his public appearance to Israel.
Footnotes
- Luke 1:3 Here “because” is supplied as a component of the participle (“have followed”) which is understood as causal
- Luke 1:3 Here the direct object is supplied from context in the English translation
- Luke 1:5 Literally “a wife to him”
- Luke 1:7 Literally “there was not to them”
- Luke 1:7 Literally “in their days”
- Luke 1:8 Here “while” is supplied as a component of the temporal infinitive (“was serving as priest”)
- Luke 1:12 Here “when” is supplied as a component of the participle (“saw”) which is understood as temporal
- Luke 1:12 *Here the direct object is supplied from context in the English translation
- Luke 1:14 Literally “joy and exultation will be to you”
- Luke 1:15 Here the phrase “while he is,” including the verb, is understood in Greek and is supplied in the translation
- Luke 1:18 Literally “in her days”
- Luke 1:19 Here “and” is supplied because the previous participle (“answered”) has been translated as a finite verb
- Luke 1:20 Literally “in return for which”
- Luke 1:21 The imperfect tense has been translated as ingressive here (“began to wonder”)
- Luke 1:21 Here “when” is supplied as a component of the temporal infinitive (“was delayed”)
- Luke 1:22 Here “when” is supplied as a component of the participle (“came out”) which is understood as temporal
- Luke 1:25 *Here the direct object is supplied from context in the English translation
- Luke 1:26 Literally “to which the name”
- Luke 1:27 Literally “to whom the name”
- Luke 1:28 Here “and” is supplied because the previous participle (“came”) has been translated as a finite verb
- Luke 1:33 Literally “for the ages”
- Luke 1:35 Here “and” is supplied because the previous participle (“answered”) has been translated as a finite verb
- Luke 1:37 Literally “every thing will not be impossible with God”
- Luke 1:39 Here “and” is supplied because the previous participle (“set out”) has been translated as a finite verb
- Luke 1:55 Literally “for the age”
- Luke 1:58 Literally “the Lord had made great his mercy with her”
- Luke 1:59 Literally “in the name of”
- Luke 1:60 Here “and” is supplied because the previous participle (“answered”) has been translated as a finite verb
- Luke 1:63 Here “and” is supplied because the previous participle (“asked for”) has been translated as a finite verb
- Luke 1:64 *The imperfect tense has been translated as ingressive here (“began to speak”)
- Luke 1:66 Here the direct object is supplied from context in the English translation
- Luke 1:68 Literally “has done redemption for”
- Luke 1:78 Or “heart”
Copyright © 1989 by Biblica
2012 by Logos Bible Software. Lexham is a registered trademark of Logos Bible Software