0Wakati alipokuwa akifukiza uvumba umati mkubwa wa watu walikuwa nje wakiomba. wakitumia maelezo ya wale wal ioshuhudia mambo haya kwa macho yao na wale waliotabiri habari hizo. Lakini, mimi pia, nimezichunguza habari hizi kuanzia mwanzo. Nami nimeona ni vema nikuandikie kwa mpango, muhtasari huu, ili upate kuwa na hakika ya mambo yote uliyofundishwa.

Utabiri Kuhusu Yohana Mbatizaji

Historia ya mambo haya ilianzia katika jamaa ya kuhani mmoja Myahudi aliyeitwa Zakaria. Yeye aliishi wakati Herode ali pokuwa mfalme wa Yudea na alihudumu katika kikundi cha ukuhani cha Abia. Mkewe Zakaria aliitwa Elizabeti naye alikuwa wa ukoo wa kuhani Aroni. Zakaria na Elizabeti walikuwa watu wenye kumcha Mungu, wakitii amri zake zote na kutimiza maagizo yake yote kika milifu. Lakini hawakuwa na watoto, maana Elizabeti alikuwa tasa; na wote wawili walishapita umri wa kuzaa. 8-9 Siku moja, kikundi cha Zakaria kilikuwa na zamu Hekaluni na Zakaria alikuwa anafanya huduma yake ya ukuhani kwa Mungu. Walipopiga kura, kama ilivyokuwa desturi, ili wamchague atakayeingia kufukiza uvumba madhabahuni, Zakaria alichaguliwa. 11 Ghafla, malaika wa Bwana akamtokea Zakaria. Akasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia uvumba. 12 Zakaria alipomwona huyo mal aika alishtuka akajawa na hofu.

13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope, Zakaria! Kwa maana Mungu amesikia maombi yako, na mkeo Elizabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana. 14 Nawe utakuwa na furaha kubwa moyoni wakati huo na watu wengi watashangilia kuzaliwa kwake. 15 Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana, hataonja divai wala kinywaji cho chote cha kulevya; atajazwa Roho Mtakatifu hata kabla ya kuzaliwa kwake. 16 Naye atawavuta Wayahudi wengi warudi kwa Bwana, Mungu wao. 17 Yeye atamtangulia Bwana akiongozwa na Roho na nguvu ya nabii Eliya. Atawapatanisha akina baba na watoto wao. Atawarejesha waasi katika njia ya wenye haki na kuandaa watu wa Bwana kwa ajili ya kuja kwake.” 18 Zakaria akamwambia mal aika, “Jambo hilo linawezekanaje? Mimi ni mzee na mke wangu pia ana umri mkubwa!” 19 Malaika akamjibu, akamwambia, “Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu. Yeye ndiye aliyenituma kwako nikuambie habari hizi njema. 20 Sikiliza! Kwa sababu huku niamini, utakuwa bubu, hutaweza kusema mpaka maneno yangu yataka pothibitishwa wakati mtoto huyo atakapozaliwa.” 21 Wakati mambo haya yakitokea mle Hekaluni, watu waliokuwa nje wakimngojea Zakaria walikuwa wakishangaa kwa nini alikawia kutoka. 22 Hati maye alipotoka hakuweza kusema nao. Wakatambua ya kuwa ameona maono ndani ya Hekalu. Kwa kuwa alikuwa bubu, akawaashiria kwa mikono. 23 Muda wake wa zamu Hekaluni ulipomalizika, akarudi nyumbani kwake. 24 Kisha baada ya muda si mrefu, Elizabeti mkewe alipata mimba, naye akajificha kwa miezi mitano akisema: 25 “Bwana amekuwa mwema kwangu. Maana ameniondolea aibu yangu mbele za watu.”

Kuzaliwa Kwa Yesu Kwatabiriwa

26 Miezi sita baada ya Elizabeti kupata mimba, Mungu alim tuma malaika Gabrieli aende katika mji wa Nazareti, ulioko Gali laya, 27 kwa msichana bikira aliyeitwa Mariamu. Yeye alikuwa ameposwa na mtu mmoja aliyeitwa Yusufu, wa ukoo wa Mfalme Daudi.

28 Malaika Gabrieli alimtokea Mariamu, akamwambia: “Sal aamu, ewe binti uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!”

29 Mariamu alifadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, maana ya salamu hizi ni nini. 30 Ndipo malaika akamwam bia, “Usiogope, Mariamu, Mungu amependezwa nawe. 31 Sikiliza, utapata mimba, nawe utazaa mtoto wa kiume; na utamwita jina lake Yesu. 32 Mtoto huyo atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Mfalme Daudi, baba yake. 33 Atatawala juu ya nyumba ya Yakobo daima; na ufalme wake hau takuwa na mwisho!”

34 Mariamu akamwuliza malaika, “Lakini, nitapataje mimba, na mimi ni bikira?” 35 Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu ata kujilia na nguvu za Mungu zitakufunika kama kivuli, na kwa hiyo mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu na ataitwa Mwana wa Mungu. 36 Tena, miezi sita iliyopita binamu yako Elizabeti, aliyeitwa tasa, amepata mimba ingawa ni mzee sana. 37 Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilo wezekana.”

38 Mariamu akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana. Na iwe kwangu kama ulivyosema.’ ’ Kisha malaika akaondoka.

Mariamu Aenda Kumtembelea Elizabeti

39 , 40 Baada ya siku chache, Mariamu aliharakisha kwenda mji mmoja katika milima ya Yudea. Akaingia nyumbani kwa Zakaria akamsalimu Elizabeti. 41 Naye aliposikia salaamu za Mariamu, mtoto aliyekuwa tumboni mwake aliruka. Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu, 42 akasema kwa sauti kubwa: “Umebarikiwa wewe zaidi ya wanawake wengine wote, naye mtoto utakayemzaa amebari kiwa. 43 Sikustahili heshima hii ya kutembelewa na mama wa Bwana wangu! 44 Mara tu niliposikia salaamu zako, mtoto aliyeko tum boni mwangu aliruka kwa furaha. 45 Wewe umebarikiwa kwa kuwa uliamini kwamba Bwana atatimiza yale aliyokuambia.” 46 Mariamu akasema: “Namtukuza Bwana, 47 na roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu. 48 Kwa kuwa ameutambua unyonge wa mtumishi wake. Tangu sasa vizazi vyote wataniita niliyebarikiwa. 49 Kwa maana, yeye Mwenye Uwezo, amenitendea mambo ya ajabu! Jina lake ni taka tifu. 50 Rehema zake hudumu vizazi hata vizazi kwao wamchao. 51 Kwa mkono wake ametenda mambo makuu. Wenye kiburi mioyoni mwao amewatawanya. 52 Amewaangusha wafalme kutoka katika viti vyao vya enzi na kuwainua wanyonge. 53 Amewashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri na matajiri amewafukuza mikono mitupu. 54 Amem saidia mtumishi wake Israeli, akiikumbuka rehema yake, 55 kama alivyowaahidi baba zetu Ibrahimu na uzao wake daima.” 56 Mar iamu akakaa na Elizabeti karibu miezi mitatu, kisha akarudi nyum bani kwake.

Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji

57 Ikawa siku za kujifungua kwake Elizabeti zilipotimia, alizaa mtoto wa kiume . 58 Habari zikawafikia majirani na jamaa jinsi Bwana alivyomfanyia rehema kuu. Nao wakafurahi pamoja naye. 59 Mtoto alipokuwa na umri wa siku nane, watu wakaja kuhudhuria tohara yake. Wote wakataka wampe yule mtoto jina la Zakaria, yaani jina la baba yake. 60 Lakini mama yake akakataa na kusema, “La si hilo. Jina lake litakuwa Yohana.” 61 Wakamjibu, “Mbona hakuna mtu katika jamaa yako mwenye jina kama hilo?” 62 Basi wakaamua kumwuliza Zakaria kwa ishara kwamba yeye angependa mtoto aitwe nani. 63 Akaomba mahali pa kuandikia, naye akaandika: “Jina lake ni Yohana.” Watu wote wakastaajabu. 64 Papo hapo uwezo wa kusema ukamrudia Zakaria naye akaanza kumsifu Mungu. 65 Watu wote walioshuhudia jambo hili wakastaajabu mno, na habari hii ikaenea sehemu zote za wilaya ile ya Yudea. 66 Na kila aliyezisikia habari hizi aliwaza moyoni: “Je, mtoto huyu atakuwa mtu wa namna gani?” Maana, hakika mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.

Utabiri Wa Zakaria

67 Zakaria, baba yake, akajazwa na Roho Mtakatifu, naye akata biri akisema: 68 “Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajia watu wake ili awakomboe. 69 Naye ametusimamishia nguvu ya wokovu katika ukoo wa Daudi mtumishi wake; 70 kama alivy oahidi kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani: 71 kwamba atatuokoa na maadui zetu na kututoa kutoka katika mikono ya wote watuchukiao. 72 Aliahidi ataonyesha rehema kwa baba zetu na kukumbuka agano lake takatifu 73 aliloagana na baba yetu Ibrahimu: 74 kutuokoa kutoka katika mikono ya adui zetu na kutuwezesha kumtumikia pasipo woga, 75 katika utakatifu na haki mbele zake, siku zetu zote. 76 Na wewe mwanangu, utaitwa nabii wa Aliye Juu, kwa kuwa utamtangulia Bwana na kumwandalia njia; 77 na kuwafahamisha watu wake juu ya wokovu utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao, 78 kwa ajili ya wingi wa rehema za Mungu wetu. Nuru ya jua itatujia kutoka mbinguni na 79 kuwaangazia wote waishio katika giza na katika uvuli wa mauti na kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.” 80 Yule mtoto akakua na kuko maa kiroho; akaishi nyikani hadi alipoanza kuwahubiria Waisraeli hadharani.

路加记述耶稣的生平

尊敬的提阿非罗大人,在我之前,曾有很多人尝试过要报道发生在我们中间的事。 这些事与人们告诉我们的情形是一致的,告诉我们这些事的人们,从一开始就亲眼目睹了这些事,他们也曾做过向人们传播上帝信息的工作。 我也认为这个意图很好,所以我对每件事都从头进行了仔细的调查,然后按次序写成了报告,呈献给您。 我这么做是为了让您知道报告给您的事情都是真实的。

天使宣告约翰的出生

在希律统治犹太的时候,亚比雅分支 [a]有个祭司,名字叫撒迦利亚。撒迦利亚的妻子,叫伊利莎白,是亚伦家族的后代。 他们俩人在上帝的眼里都是正直的人,他们总是全心全意地执行着主的一切诫命和指示,从无过失。 但是他们没有孩子,因为伊利莎白不能生育,并且他们已经很老了。

当轮到撒迦利亚分支在主的殿堂里供职时,撒迦利亚在上帝面前担任祭司的职务, 按照祭司们遵循的规矩,以抽签的方式,他被选中去主的大殿烧香。 10 当撒迦利亚烧香的时候,所有的人都聚集在外面祈祷着。 11 这时,主的一个天使出现在撒迦利亚面前,伫立在香坛的右侧。 12 当撒迦利亚看见这个天使时,非常不安,恐惧极了, 13 天使却对他说∶“撒迦利亚,不要害怕,主听到了你的祈祷,所以你的妻子伊利莎白将给你生一个儿子,你要给他起名叫约翰, 14 他将给你们带来幸福和快乐。他出生时,将会有很多人欢喜, 15 因为他在主的眼里将是伟大的。他必须滴酒不沾,从他一出生,就充满了圣灵。

16 约翰将使众多的以色列人重归主—他们的上帝。 17 他将具有以利亚一样的灵和力量,他将走在主的面前,使父子和平相处,使叛逆者回到被人们认为是正确的道路上来,使人们为主的到来做好准备。”

18 撒迦利亚对天使说∶“我怎么知道你所说的话是真的呢?我和我的妻子都是上年纪的人了。” 19 天使回答说∶“我是侍立在上帝面前的天使加百列,受上帝的派遣来告诉你这个喜讯的, 20 但是,你要记住,因为你不相信我的话,你将变成哑巴,直到这一切发生的那天,你才能重新讲话。”

21 此时,人们都在外面等待着撒迦利亚,他们都不明白为什么撒迦利亚在大殿里面呆了这么久。 22 当撒迦利亚出来时,竟不能对人们讲话了,人们意识到他在大殿里看到了异象,既然撒迦利亚说不出话来,他只好向大家打手势示意。 23 等到在大殿里供职的日期一到,他便回家去了。

24 过了一段时间,他的妻子伊利莎白怀孕了。她隐居在家,五个月没出门,她说: 25 “主终于在这方面帮助了我,他对我的垂爱洗刷了我在众人面前的耻辱 [b]。”

天使宣告耶稣的降生

在伊利莎白怀孕的第六个月,上帝派天使加百列到加利利的一个叫拿撒勒的城镇去见一位处女。这个处女名叫马利亚,她与大卫家族的一个叫约瑟的男子订了婚。 28 加百列来到马利亚面前,向她问候说∶“祝贺你,蒙主恩宠的姑娘,主与你同在。”

29 但是,马利亚因为天使的话而感到惶恐不安,不明白这问候到底意味着什么。

30 天使又对他说∶“别害怕,马利亚,你受到了上帝的恩宠。 31 听着,你就要怀孕生子,你要给他取名叫耶稣。 32 他将是个伟大的人,他将被称为至高无上的上帝之子。主上帝将把他的祖先-大卫 [c]的宝座赐给他, 33 他将永远统治雅各的臣民,他的王国将永不终止。”

34 马利亚对天使说,“可是,怎么可能发生这样的事情呢?我还是个处女呢!”

35 天使回答道∶“圣灵就要降临到你的身上,至高无上的上帝的力量将庇荫着你,因此,那降生的圣婴将被称为上帝之子。 36 听着,你的亲戚伊利莎白虽然已到高龄,而且人们又都说她不能生育,可是,现在她已经怀孕六个月了。 37 上帝是无所不能的。”

38 马利亚说∶“我是主的仆人,愿你的话在我身上应验。”然后天使便离开了。

马利亚看望撒迦利亚和伊利莎白

39 马利亚起身,急匆匆去了山区,到了犹太地区的一座小镇。 40 她走进撒迦利亚的家,问候伊利莎白。 41 当伊利莎白听到马利亚的问候时,腹中的胎儿便动了起来,此时伊利莎白充满了圣灵。

42 她高声说道∶“你是所有女人中最受恩赐的人,那将要出生的孩子也是有福的。 43 可是,为什么我主的母亲前来探望我呢?为什么这样伟大的事情会发生在我的身上呢? 44 我刚才一听到你的问候,我腹中的胎儿就动了起来。 45 你是有福的,因为你相信主对你说的事情会发生。”

马利亚赞美上帝

46 这时,马利亚说:

47 “我的灵赞美我主,
我的心因为上帝—我的救世主而喜悦,
48 因为他对他卑微的仆人表示了关怀,
从今以后,所有的人都将说我受到了祝福,
49 因为强大的主成全了我的大事。
他的名字是神圣的。
50 他将赐怜悯给世世代代敬畏他的人们,
51 他显示了他臂膀的力量,
他驱逐了自以为了不起的骄傲之人;
52 他把君王们拉下了宝座,
他扶起了卑微的人;
53 他让挨饿的人饱餐美食,
他使富足的人们两手空空地离去。
54 他来扶助他的仆人以色列,
55 他信守对我们的祖先许下的诺言,
不忘施怜悯于亚伯拉罕和他的子孙,直到永远。”

56 马利亚在伊利莎白那里住了三个月左右,然后回家去了。

约翰的出生

57 伊利莎白的产期到了,她生下一个男孩。 58 当她的亲友和邻居们听说主赐给了她这么大的怜悯时,都来分享她的欢乐。

59 孩子出生的第八天,他们就给婴儿行了割礼,并要随他父亲的名字给他取名叫撒迦利亚, 60 但是,他的母亲却说∶“不,要叫他约翰。”

61 亲友们对她说∶“你的亲戚里面没有一个人叫这个名字的。” 62 然后,他们又向孩子的父亲打手势,问他想给孩子取个什么名字。

63 撒迦利亚要来一块写字板,在上面写道∶“他的名字叫约翰。”人们看后十分惊讶, 64 就在这时,撒迦利亚的嘴张开了,舌头也舒展了,他开口讲话,并开始赞美上帝。 65 邻居们却充满敬畏,整个犹太地区的人们都对此事议论纷纷。 66 所有听到这件事情的人都禁不住猜想∶“这个孩子将来会成为什么样的人呢?”因为,显然主的力量与他同在。

撒迦利亚赞美上帝

67 此时,孩子的父亲撒迦利亚被圣灵充满,他预言说:

68 “赞美归于主,以色列的上帝!
因为他来帮助他的子民,赐给他们自由;
69 主从他的仆人大卫家里,为我们选派了强有力的拯救者。
70 按照他借生活在很久以前神圣的先知之口做出的许诺,
71 把我们从敌人和仇视我们的人的手中拯救出来,
72 并对我们的祖先施以怜悯,牢记他的圣约,
73 那是他对我们的祖先,亚伯拉罕发的誓言:
74 让我们脱离敌人之手,使我们坦然无惧地侍奉他;
75 并使我们在他面前终身神圣和正义。
76 那么,你,我的孩子,将被称为至尊上帝的先知,
因为你将走在主的前面,
为他准备道路;
77 让他们知道他们通过宽恕而得救,
他们将因此得救,
78 由于我们的上帝的仁慈,
79 新的一天将从天堂降临到我们身上,
普照生活在死亡的阴影里的人们;
并引导我们的步伐走向和平的道路。”

80 就这样,孩子渐渐地成长着,身体和心灵越来越强壮。在向以色列人公开传道前,他一直居住在人烟稀少的地方。

Footnotes

  1. 路 加 福 音 1:5 阿比雅分支: 犹太祭司分为40个分支。见《历代志上》24。
  2. 路 加 福 音 1:25 耻辱: 犹太人当时认为女人不生育是一件可耻的事情。
  3. 路 加 福 音 1:32 大卫: 在耶稣之前一千年的以色列王。