Font Size
Luka 1:45-47
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 1:45-47
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
45 Umebarikiwa wewe uliyeamini kuwa mambo aliyokuambia Bwana yatatokea.”
Mariamu Amsifu Mungu
46 Mariamu akasema,
“Moyo wangu unamwadhimisha Bwana,
47 kwa maana, Yeye, Mungu na Mwokozi
wangu amenipa furaha kuu!
Luka 1:45-47
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 1:45-47
Neno: Bibilia Takatifu
45 Wewe umebarikiwa kwa kuwa uliamini kwamba Bwana atatimiza yale aliyokuambia.” 46 Mariamu akasema: “Namtukuza Bwana, 47 na roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica