Font Size
Yohana 14:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 14:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Lakini yule Msaidizi atawafundisha kila kitu na kuwafanya mkumbuke kila nilichowaambia. Huyu Msaidizi ni Roho Mtakatifu[a] ambaye Baba atamtuma kwa jina langu.
Read full chapterFootnotes
- 14:26 Roho Mtakatifu Pia anaitwa Roho wa Mungu, Roho wa Kristo, na Mfariji. Katika muungano na Mungu na Kristo, hufanya kazi za Mungu miongoni mwa watu ulimwenguni.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International