Font Size
Ufunuo 3:9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 3:9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Sikiliza! Kuna kundi[a] la Shetani. Wanasema kuwa wao ni Wayahudi, lakini ni waongo. Si Wayahudi halisi. Nitawafanya waje mbele yako na kusujudu kwenye miguu yako. Watajua ya kuwa ninakupenda.
Read full chapterFootnotes
- 3:9 kundi Yaani, “sinagogi”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International