Font Size
Wagalatia 6:7-8
Neno: Bibilia Takatifu
Wagalatia 6:7-8
Neno: Bibilia Takatifu
7 Msidanganyike, Mungu hadanganywi. Kwa maana kila mtu ata vuna kile alichopanda. 8 Mtu apandaye katika tamaa za mwili, ata vuna kutoka katika mwili uharibifu; lakini yeye apandaye katika Roho, atavuna kutoka katika Roho uzima wa milele.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica