Font Size
Filemoni 6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Filemoni 6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Ninakuombea kwamba unaposhirikiana na wengine juu ya imani yako upate kuelewa kikamilifu kila jambo jema ambalo tunapata ndani ya Kristo. 7 Ndugu yangu, upendo wako umenipa furaha kubwa na faraja, kwa maana wewe umechangamsha mioyo ya watakatifu.
Ombi Kuhusu Onesmo
8 Kwa sababu hii, ingawa nina ujasiri ndani ya Kristo kuku amuru ufanye linalotakiwa,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica