Font Size
2 Wathesalonike 2:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wathesalonike 2:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Na mnajua kinachomzuia sasa, ili adhihirishwe wakati ufaao. 7 Maana ile nguvu ya siri ya uasi imekwisha anza kufanya kazi; lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapoondolewa. 8 Hapo ndipo yule mwovu ataonekana, na Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kabisa kwa ufahari wa kuja kwake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica