Font Size
2 Wakorintho 9:7-8
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 9:7-8
Neno: Bibilia Takatifu
7 Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa kusita au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu anapenda mtu anayetoa kwa moyo. 8 Na Mungu anaweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili kila wakati muwe na kila kitu kwa kiasi cha kutosha na ziada kwa ajili ya kila kazi njema.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica