Font Size
2 Wakorintho 4:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Wakorintho 4:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Habari Njema tunazowahubiri watu hazijafichika kwa yeyote isipokuwa kwa waliopotea. 4 Mtawala[a] wa dunia hii amezitia giza akili za wasioamini. Hawawezi kuona nuru ya Habari Njema; ujumbe juu ya uungu wa Kristo, taswira halisi ya Mungu. 5 Hatuwaambii watu habari zetu wenyewe. Lakini tunawaambia habari za Kristo Yesu kuwa ni Bwana, na tunawaambia kuwa sisi ni watumwa wenu kwa ajili ya Yesu.
Read full chapterFootnotes
- 4:4 Mtawala Kwa maana ya kawaida, “Mungu”. Lakini usemi huu hapa unamaanisha “Shetani”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International