Font Size
2 Wakorintho 4:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 4:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Na hata kama Injili yetu imefichika, basi imefichika kwa wale wanaopotea. 4 Kwa upande wao, mungu wa dunia hii ametia giza akili za wasioamini, ili wasione mwanga wa Injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ana sura ya Mungu. 5 Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhu biri Yesu Kristo kuwa ni Bwana, na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica