Font Size
2 Timotheo 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Watakataa kabisa kusikia kweli na watageukia hadithi za uongo. 5 Bali wewe uwe imara, katika mambo yote, vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu wote wa huduma yako.
6 Maana mimi sasa ni tayari kutolewa kama sadaka, saa ya kuondoka kwangu imefika.
Read full chapter
2 Timotheo 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Watakataa kabisa kusikia kweli na watageukia hadithi za uongo. 5 Bali wewe uwe imara, katika mambo yote, vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu wote wa huduma yako.
6 Maana mimi sasa ni tayari kutolewa kama sadaka, saa ya kuondoka kwangu imefika.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica