Font Size
2 Timotheo 4:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Timotheo 4:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Bwana ataniokoa kutokana na kila mashambulizi maovu na atanileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe wake milele na milele. Amina.
Salamu za Mwisho
19 Msalimu Priska na Akila na wale wa nyumbani mwake Onesiforo. 20 Erasto alibaki Korintho. Nilimwacha Trofimo kule Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International