Font Size
2 Timotheo 4:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 4:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Bwana ataniokoa katika kila uovu na kunihifadhi mpaka niu fikie ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe Yeye milele na milele.
Salamu Za Mwisho
19 Nisalimie Prisila na Akila na wote waliomo nyumbani kwa Onesiforo. 20 Erasto alibaki Korintho. Trofimo nilimwacha akiwa mgonjwa huko Mileto.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica