Font Size
2 Timotheo 2:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 2:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Mkulima mwe nye bidii ndiye anayestahili kupata fungu la kwanza la mavuno. 7 Yatafakari haya ninayokuambia, kwa maana Mungu atakupa ufahamu katika mambo yote.
8 Mkumbuke Yesu Kristo aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliyez aliwa katika ukoo wa Daudi. Hii ndio Injili yangu ninayoihubiri.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica