Font Size
2 Timotheo 2:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 2:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
24 Na tena mtumishi wa Bwana hapaswi kuwa mgomvi. Anapaswa kuwa mpole kwa kila mtu na mwalimu mwenye uwezo, na mvumilivu. 25 Anapaswa kuwaonya wale wanaompinga kwa upole, kwa matumaini kwamba Mungu anaweza kuwajalia watubu na kuifahamu kweli; 26 fahamu zao ziwarudie tena, watoke katika mtego wa shetani ambaye amewafunga wafanye kama apendavyo.
Read full chapter
2 Timotheo 2:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 2:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
24 Na tena mtumishi wa Bwana hapaswi kuwa mgomvi. Anapaswa kuwa mpole kwa kila mtu na mwalimu mwenye uwezo, na mvumilivu. 25 Anapaswa kuwaonya wale wanaompinga kwa upole, kwa matumaini kwamba Mungu anaweza kuwajalia watubu na kuifahamu kweli; 26 fahamu zao ziwarudie tena, watoke katika mtego wa shetani ambaye amewafunga wafanye kama apendavyo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica