Font Size
2 Timotheo 2:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 2:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Tusipo kuwa waaminifu, yeye huendelea kuwa mwaminifu kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Mfanyakazi Mwenye Kibali Mbele Za Mungu
14 Wakumbushe mambo haya na uwaamuru mbele za Bwana waache kubishana juu ya maneno. Hii haiwasaidii cho chote bali huwaanga miza wanaowasikiliza. 15 Jitahidi kujidhihirisha mbele za Mungu kama mtu aliyepata kibali chake, mfanyakazi asiyekuwa na sababu yo yote ya kuona aibu, ambaye hulitumia neno la kweli kwa usa hihi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica