Font Size
2 Wakorintho 6:17-18
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 6:17-18
Neno: Bibilia Takatifu
17 Kwa hiyo, tokeni kati yao, mkajitenge nao, asema Bwana. Msiguse cho chote kisicho safi; ndipo nitawakaribisha kwangu. 18 Nami nitakuwa baba kwenu, nanyi mtakuwa vijana wangu na binti zangu, asema Bwana Mwenyezi.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica