Tamaño de la fuente
1 Timotheo 2:5
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 2:5
Neno: Bibilia Takatifu
5 Maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu,
Read full chapter
1 Timotheo 2:5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 2:5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Kuna Mungu mmoja tu, na kuna mwanadamu mmoja tu anayeweza kuwaleta pamoja wanadamu wote na Mungu wao. Huyo mtu ni Kristo Yesu kama mwanadamu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International