Font Size
1 Wakorintho 2:11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 2:11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Hakuna mtu anayejua mawazo ya mtu mwingine. Ni roho inayoishi ndani ya mtu huyo ndiyo inajua mawazo ya mtu huyo. Ndivyo ilivyo hata kwa Mungu, ni Roho wa Mungu peke yake ndiye anayeyajua mawazo ya Mungu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International