Font Size
1 Yohana 2:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Yohana 2:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Kama tukisema kuwa tunamjua Mungu lakini hatuzitii amri zake, tunasema uongo. Kweli haimo ndani mwetu. 5 Lakini tunapotii mafundisho ya Mungu, kwa hakika upendo wake unakamilika ndani yetu. Hivyo ndivyo tunavyojua kuwa tunaishi ndani yake. 6 Kama tukisema kuwa tunaishi ndani ya Mungu, ni lazima tuishi kwa namna ambvyo Yesu aliishi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International