Font Size
1 Yohana 1:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Yohana 1:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Kwa hiyo kama tukisema kuwa tunashirikiana na Mungu, lakini tukaendelea kuishi katika giza, tunakuwa ni waongo, tusioifuata kweli. 7 Tunapaswa kuishi katika nuru, ambamo Mungu yupo. Kama tunaishi katika nuru, tunashirikiana sisi kwa sisi, na sadaka ya damu yake Yesu, Mwana wa Mungu, inatutakasa kila dhambi.
8 Kama tukisema kuwa hatuna dhambi, tunajidanganya wenyewe na tumeikataa kweli.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International