Font Size
1 Yohana 1:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 1:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Tukisema tuna ushirika naye huku tunaendelea kuishi gizani tunasema uongo, wala hatutendi yaliyo ya kweli. 7 Bali tukiishi nuruni, kama yeye alivyo nuru, tunakuwa na ushirika sisi kwa sisi na damu ya Mwanae Yesu, inatutakasa dhambi zote. 8 Tukisema kwamba hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe wala kweli haimo ndani yetu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica