1 Wathesalonike 3
Neno: Bibilia Takatifu
Timotheo Atumwa Kwenda Thesalonike
3 Hatimaye tuliposhindwa kuvumilia zaidi, tuliona afadhali tubaki Athene peke yetu. 2 Tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na mtumishi wa Mungu katika kuieneza Habari Njema ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia moyo 3 ili asije mtu akababaishwa na mateso haya. Kama mjuavyo, tumepangiwa mateso. 4 Hata tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia mara kwa mara kwamba tutateswa, na kama mjuavyo ndivyo ilivyokuwa. 5 Ndio maana niliposhindwa kuvumilia nilituma mtu ili nifahamu msimamo wenu katika imani. Niliogopa kuwa pengine yule mjaribu shetani alikuwa amewajaribu na kwamba pengine juhudi yetu kwenu ingekuwa ni bure.
Taarifa Ya Timotheo
6 Lakini sasa Timotheo amekwisha rejea kutoka kwenu na ameleta taarifa nzuri kuhusu imani yenu na upendo wenu. Ametuam bia kwamba mnatukumbuka kwa wema na kwamba mna hamu siku zote kutuona kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaona. 7 Kwa sababu hiyo ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa ajili yenu, kutokana na imani yenu. 8 Maana sasa hakika tunaishi kwa kuwa ninyi mmesimama imara katika Bwana. 9 Tutawezaje kumshu kuru Mungu kiasi cha kutosha kwa ajili yenu, kutokana na furaha tuliyo nayo mbele za Mungu wetu kwa sababu yenu? 10 Usiku na mchana tunaomba kwa bidii ili tuwezeshwe kuwaona tena na kuwapa tieni kile ambacho bado kinapungua katika imani yenu.
11 Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu. 12 Bwana na awawezeshe ninyi kupendana zaidi na zaidi na kuwapenda watu wote kama sisi tunav yowapenda ninyi. 13 Tunamwomba awaimarisheni mioyo ili msiwe na lawama bali muwe watakatifu mbele za Mungu Baba yetu, wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na watakatifu wake wote.
1 Tesalonicenses 3
Nueva Biblia de las Américas
Interés de Pablo por sus hijos en la fe
3 Por lo cual, no pudiendo soportarlo más(A), pensamos que era mejor quedarnos solos en Atenas(B). 2 Enviamos a Timoteo(C), nuestro hermano y colaborador de Dios[a] en el evangelio de Cristo, para fortalecerlos y alentarlos respecto a la fe de ustedes; 3 a fin de que nadie se inquiete[b] por causa de estas aflicciones, porque ustedes mismos saben que para esto hemos sido destinados(D).
4 Porque en verdad, cuando estábamos con ustedes les predecíamos que íbamos a sufrir aflicción, y así[c] ha acontecido(E), como[d] saben. 5 Por eso también yo, cuando ya no pude soportar más(F), envié a Timoteo para informarme de su fe(G), por temor a que el tentador los hubiera tentado(H) y que nuestro trabajo hubiera sido en vano(I). 6 Pero ahora Timoteo ha regresado[e](J) de ustedes a nosotros, y nos ha traído buenas noticias de su fe y amor(K) y de que siempre tienen buen recuerdo de nosotros(L), anhelando vernos, como también nosotros a ustedes.
7 Por eso, hermanos, en toda nuestra necesidad y aflicción fuimos consolados respecto a ustedes por medio de su fe. 8 Porque ahora sí que vivimos, si ustedes están firmes(M) en el Señor. 9 Pues ¿qué acción de gracias podemos dar a Dios por ustedes(N), por todo el gozo con que nos regocijamos delante de nuestro Dios a causa de ustedes, 10 según oramos intensamente de noche y de día(O) que podamos ver el rostro de ustedes(P) y que completemos lo que falta(Q) a su fe?
Exhortación a la santidad
11 Ahora, pues, que el mismo Dios(R) y Padre nuestro, y Jesús nuestro Señor(S), dirijan nuestro camino(T) a ustedes. 12 Que el Señor los haga crecer y abundar en amor unos para con otros(U), y para con todos, como también nosotros lo hacemos para con ustedes; 13 a fin de que Él afirme sus corazones(V) irreprensibles en santidad(W) delante de nuestro Dios y Padre(X), en la venida[f] de nuestro Señor Jesús(Y) con todos Sus santos(Z).
Copyright © 1989 by Biblica
Nueva Biblia de las Américas™ NBLA™ Copyright © 2005 por The Lockman Foundation
