Font Size
1 Wakorintho 16:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 16:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Na sasa kuhusu Apolo: Ninamsihi sana aje na ndugu wengine kuwatembelea ninyi huko Korintho. Hajataka kuja sasa, lakini atakuja kwenu atakapopata nafasi.
Paulo Amalizia Barua Yake
13 Iweni waangalifu. Simameni imara katika imani yenu. Mwe jasiri na wenye nguvu. 14 Fanyeni kila kitu katika upendo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International