Font Size
1 Wakorintho 11:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 11:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Ikiwa mwanamke hatafunika kichwa chake, basi na azinyoe nywele zake. Lakini ni aibu kwa mwanamke kukata nywele zake au kuzinyoa kichwani mwake. Hivyo anapaswa kufunika kichwa chake.
7 Lakini mwanaume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa sababu ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanaume. 8 Mwanaume hakutoka kwa mwanamke bali mwanamke ndiye aliyetoka kwa mwanaume.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International