Font Size
1 Timotheo 2:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 2:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Unapaswa kuwaombea watawala na wote wenye mamlaka. Uwaombee viongozi hawa ili tuweze kuishi maisha yenye utulivu na amani, maisha yaliyojaa utukufu kwa Mungu na yanayostahili heshima. 3 Hili ni jambo jema na linampendeza Mungu Mwokozi wetu.
4 Mungu anataka kila mtu aokolewe na aielewe kweli kikamilifu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International